Книга Utatu Mtakatifu Shannel S Silwimba

Utatu Mtakatifu

Автор: Shannel S Silwimba
Език: Суахили
Корици: С меки корици
Издател: Shannel Steven Silwimba
Наличност: Външен склад
Изпращаме след 14-21 дни
14.73 28.81 лв
Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndan...

Информация за книгата

Автор
Език
Суахили
Корици
Книга - С меки корици
Издадена
2023
страници
144
EAN
9798215835401
Enbook ID
42919548
Издател
Теглоt
191
Размери
140 x 216 x 8

Пълно описание

Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndani ya kanisa lote linalo zungumza Kiswahili. Katika hiki tunaona mtizamo mpya wa theolojia, changamoto katika tafsiri za biblia ndani ya lugha ya Kiswahili, na jipya zaidi ni uhamisho wa waumini toka udini kuelekea mahusiano na Mungu YHWH.

Kitabu kinachukulia biblia yote kuwa fumbo la picha, na hivyo kutumia mstari wa wakati uendao mbele katika mduara, kuonyesha mwanzo hadi mwisho wa kila kitu. Na kama hili halitoshi, kinaweka dai tatanishi kwamba, biblia yote iliandikwa kwa ajili ya ukombozi wa Adonai Yeshua Kristo, na kwamba yote humo pamoja na maisha yako yote, ni kwa ajili ya Mungu YHWH kuwa na familia yake tu.

Kitabu kinacho dai tete la kuifunua kweli iliyo moja na ya pekee mahali pote, wakati wote, na kwa vizazi vyote. Na katika kunogesha uelewa; kinapinga mafundisho yaliyo zoeleka kwamba, mtu ataishi Mbinguni na Mungu milele, kwa kudai maandiko yote yanasema, ni Mungu YHWH anaye hamia katika Dunia mpya ndani ya Yerushalem Mpya kuishi humo milele na watoto wake watakatifu.

Kitabu kinajikita katika malumbano ya kidini na sayansi, na kuitumia teknolojia ya sasa kuelezea dhana nyingi za kiimani. Na kwa kila funzo la kinadharia unalo pewa, pia huonyeshwa jinsi ya kutenda hilo uhesabiwe mstahiki wa ahadi hiyo ya Mungu. Na katika ujasiri mkuu kinaweka dai ya kuwa, hicho ni ujumbe halisi wa Mungu YHWH kwa kanisa lake tukufu linalo zungumza Kiswahili.

Ni kitabu ambacho kila anayefunza dini hawezi kukikosa, na kwa kila mtu anaye taka kujua kweli ya mambo ya kiungu, hiki ni kitabu muhimu zaidi sokoni kwa sasa. Tunakiona kutawala malumbano katika kumbi za mihadhara, mimbari za masinagogi, na hata madarasani kufunzwapo dini. Ni kitabu ambacho kitafungua jicho la kila muumini, kwani katika lugha ya Kiswahili hakipo kinacho zama katika kina chake hiki. Kwa kweli uhamsho wa kanisa linalo zungumza Kiswahili sasa umefika wakati wake!

Може също да ви хареса

205.28 401.49 лв

Truth About Marriage

James Jr. Hairston
13.28 25.97 лв
5.81 11.36 лв

Hospice

Gregory Howard
19.24 37.63 лв

Apostrophe Catastrophe

Patrick C. Notchtree
10.07 19.69 лв
18.04 35.28 лв

A Short Stay in Hell

Steven L. Peck
13.08 25.57 лв
32.52 63.61 лв

Zukunft Medizintechnik

Wolfgang Niederlag
77.38 151.34 лв

Клиенти, които купиха тази книга, купиха също

Emma Watson

ANNA DOHERTY
7.91 15.48 лв
15.23 29.79 лв
14.38 28.12 лв
5.36 10.48 лв

Digital Hate

Iginio Gagliardone
21.35 41.75 лв
91.16 178.29 лв

Winter Spirits

Bridget Collins
19.84 38.81 лв
8.87 17.34 лв
19.69 38.51 лв

AutoCAD 2025

ASCENT - Center for Technical Knowledge
71.06 138.99 лв

Les prénoms

Morisseau
26.86 52.53 лв
31.27 61.16 лв
28.81 56.35 лв
127.95 250.24 лв
26.26 51.35 лв

Filmfonds und neue Filmfinanzierungskonzepte

Curd-Georg von Nostitz-Wallwitz
36.68 71.74 лв

Falkenspur

Bernd Köstering
11.12 21.75 лв

Truman

David McCullough
18.69 36.55 лв